Nyambizi ya jeshi la wanamaji nchini Indonesia iliyotoweka katika pwani ya mji wa Bali siku ya Jumatano imepatikana ikiwa imekatika vipande vitatu chini ya bahari , maafisa wamesema. Wanajeshi wote 53 ...
Nahodha wa zamani wa manowari ya Royal Navy Ryan Ramsay ametaja baadhi ya sababu ambazo huenda zilipelekea nyambizi ya OceanGate ya Titan kupasuka. Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, ...
Kikosi cha ulinzi wa pwani cha Marekani kimesema watu wote 5 waliokuwemo kwenye nyambizi ya utalii iliyopotea karibu na Titanic wamekufa, yumkini papo hapo baada ya chombo hicho kulipuka katika kina ...
Kikosi cha ulinzi wa pwani cha Marekani kimesema waoakoji wanaoitafuta nyambizi ya utalii iliyotoweka karibu na mabaki ya meli Titanic wamegundua kelele za chini ya maji katika eneo la utafutaji siku ...
Dada wa Kiongozi Mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amelaani kuwasili kwa nyambizi ya Marekani inayoendeshwa kwa nishati ya nyuklia nchini Korea Kusini. Jana Jumanne, Kim Yo Jong alitoa taarifa ...
Nchini Argentina, jeshi la wanamaji lilitangaza siku ya Alhamisi Novemba 30 kuwa halina matumaini ya kuwapata wakiwa hai wafanyakazi 44 wa nyambizi San Juan iliyotoweka katika pwani ya Patagonia tangu ...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mwenzake wa Marekani Joe Biden wameahidi Jumatano Septemba 22, wakati mazungumzo ya simu, kurejesha imani kati ya Ufaransa na Marekani baada ya kuzuka mgogoro ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results